-
Yeremia 2:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Nao hawakusema, ‘Yehova yuko wapi, Yeye aliyetupandisha kutoka katika nchi ya Misri,+ Yeye aliyetutembeza kupitia nyikani, kupitia nchi tambarare ya jangwani+ na shimo, kupitia nchi isiyo na maji+ na yenye kivuli kizito,+ kupitia nchi ambayo mwanadamu yeyote hakupita ndani yake na ambayo hakuna mtu wa udongo aliyekaa ndani yake?’
-