Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+

  • Waamuzi 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Gideoni akamwambia: “Nakuomba radhi, bwana wangu, lakini ikiwa Yehova yupo pamoja nasi, kwa nini haya yote yametupata,+ na yako wapi matendo yake yote ya ajabu+ ambayo mababu zetu walitusimulia,+ wakisema, ‘Je, Yehova siye aliyetuleta kutoka Misri?’+ Na sasa Yehova ametuacha,+ naye anatutia katika mkono wa Midiani.”

  • Isaya 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mtu akaanza kuzikumbuka siku za zamani za kale, Musa mtumishi wake: “Yuko wapi Yeye aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+ Yuko wapi Yeye aliyetia ndani yake roho Yake takatifu?+

  • Hosea 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri,+ wala hukuwa unamjua Mungu mwingine yeyote ila mimi; wala hapakuwa na mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki