Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+ Isaya 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+
30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+
10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+