11 Halafu Musa akainua mkono wake na kuupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake; na maji mengi yakaanza kutoka, nalo kusanyiko na wanyama wao wa kubeba mizigo wakaanza kunywa.+
4 na wote walikunywa maji+ yaleyale ya kiroho. Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba+ wa kiroho uliowafuata, na mwamba+ huo ulimaanisha Kristo.+