6 Tazama! Nitasimama mbele yako juu ya mwamba huko Horebu. Nawe utaupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, na watu watayanywa.”+ Kisha Musa akafanya hivyo machoni pa wanaume wazee wa Israeli.
11 Halafu Musa akainua mkono wake na kuupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake; na maji mengi yakaanza kutoka, nalo kusanyiko na wanyama wao wa kubeba mizigo wakaanza kunywa.+