2 Wafalme 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana Yehova amesema hivi: “Ninyi hamtaona upepo, wala kuona mvua kubwa; ingawa hivyo, lile bonde la mto litajazwa maji,+ nanyi mtakunywa kutoka ndani yake,+ ninyi na mifugo yenu na wanyama wenu wa kufugwa.”’
17 kwa maana Yehova amesema hivi: “Ninyi hamtaona upepo, wala kuona mvua kubwa; ingawa hivyo, lile bonde la mto litajazwa maji,+ nanyi mtakunywa kutoka ndani yake,+ ninyi na mifugo yenu na wanyama wenu wa kufugwa.”’