Hesabu 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yehova akaleta nyoka wenye sumu* katikati ya watu, na nyoka hao wakawauma sana hivi kwamba Waisraeli wengi wakafa.+
6 Basi Yehova akaleta nyoka wenye sumu* katikati ya watu, na nyoka hao wakawauma sana hivi kwamba Waisraeli wengi wakafa.+