1 Wakorintho 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu, ili tusitamani mambo mabaya, kama wao walivyotamani.+ 1 Wakorintho 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wala tusimjaribu Yehova,*+ kama baadhi yao walivyomjaribu, wakaangamizwa na nyoka.+