5 Na watu wakaendelea kumnung’unikia Mungu na Musa,+ wakisema: “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani? Hakuna chakula wala maji,+ nasi tumeuchukia mkate huu unaochukiza.”+ 6 Basi Yehova akaleta nyoka wenye sumu katikati ya watu, na nyoka hao wakawauma sana hivi kwamba Waisraeli wengi wakafa.+