Kutoka 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+ Hesabu 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini sasa tunadhoofika. Hatuoni kitu kingine chochote isipokuwa hii mana.”+ Zaburi 78:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;Akawapa nafaka ya mbinguni.+ 25 Wanadamu wakala mkate wa wenye nguvu;*+Aliwapa mkate wa kutosha wa kuwashibisha.+
15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+
24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;Akawapa nafaka ya mbinguni.+ 25 Wanadamu wakala mkate wa wenye nguvu;*+Aliwapa mkate wa kutosha wa kuwashibisha.+