35 Waisraeli walikula mana kwa miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+
5 Na watu wakaendelea kumnung’unikia Mungu na Musa,+ wakisema: “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani? Hakuna chakula wala maji,+ nasi tumeuchukia mkate huu unaochukiza.”+