4 Ona aibu, Ee Sidoni;+ Ee ngome ya bahari, kwa sababu bahari imesema: “Sijapata uchungu wa kuzaa, nami sijazaa, wala sijalea vijana, wala kulea mabikira.”+
3 Nawe uzipeleke kwa mfalme wa Edomu+ na kwa mfalme wa Moabu+ na kwa mfalme wa wana wa Amoni+ na kwa mfalme wa Tiro+ na kwa mfalme wa Sidoni+ kwa mkono wa wajumbe wanaokuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.