4 Naye Mesha+ mfalme wa Moabu akawa mfugaji wa kondoo, akamlipa mfalme wa Israeli wana-kondoo mia moja elfu na kondoo-dume mia moja elfu ambao hawajakatwa manyoya.
48Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi:+ “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameporwa! Kiriathaimu+ ameona aibu, ametekwa. Kilele kilicho salama kimeona aibu na kutiwa hofu.+
2“Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Moabu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa kuwa aliteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu ili kupata chokaa.+