Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Mesha+ mfalme wa Moabu akawa mfugaji wa kondoo, akamlipa mfalme wa Israeli wana-kondoo mia moja elfu na kondoo-dume mia moja elfu ambao hawajakatwa manyoya.

  • Yeremia 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi:+ “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameporwa! Kiriathaimu+ ameona aibu, ametekwa. Kilele kilicho salama kimeona aibu na kutiwa hofu.+

  • Ezekieli 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+

  • Amosi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Moabu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa kuwa aliteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu ili kupata chokaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki