Yeremia 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameangamizwa! Kiriathaimu+ ameaibishwa na kutekwa. Kimbilio salama limeaibishwa* na kuvunjwavunjwa.+
48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameangamizwa! Kiriathaimu+ ameaibishwa na kutekwa. Kimbilio salama limeaibishwa* na kuvunjwavunjwa.+