Yeremia 48:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Tumesikia habari za kiburi cha Moabu+—ana majivuno sana—habari za ustahiki wake na za kiburi chake na za majivuno yake na za kuinuka kwa moyo wake.”+ Ezekieli 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+ Sefania 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na maneno mabaya ya wana wa Amoni,+ ambayo wametumia kuwashutumu watu wangu na kuendelea kujivuna sana juu ya eneo lao.
29 “Tumesikia habari za kiburi cha Moabu+—ana majivuno sana—habari za ustahiki wake na za kiburi chake na za majivuno yake na za kuinuka kwa moyo wake.”+
8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+
8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na maneno mabaya ya wana wa Amoni,+ ambayo wametumia kuwashutumu watu wangu na kuendelea kujivuna sana juu ya eneo lao.