Zaburi 94:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Usimame mwenyewe, Ee Mwamuzi wa dunia.+Uwalipe wenye majivuno.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Isaya 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu, kwamba yeye ana kiburi sana;+ majivuno yake na kiburi chake na ghadhabu yake+—maneno yake matupu hayatakuwa hivyo.+ Sefania 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Haya ndiyo watakayopata badala ya kiburi chao,+ kwa sababu walishutumu na kuendelea kujivuna sana juu ya watu wa Yehova wa majeshi.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+
6 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu, kwamba yeye ana kiburi sana;+ majivuno yake na kiburi chake na ghadhabu yake+—maneno yake matupu hayatakuwa hivyo.+
10 Haya ndiyo watakayopata badala ya kiburi chao,+ kwa sababu walishutumu na kuendelea kujivuna sana juu ya watu wa Yehova wa majeshi.+