Ayubu 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini. Zaburi 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Enyi washikamanifu wake wote, mpendeni Yehova.+Yehova anawalinda waaminifu,+Lakini anampa malipo tele yeyote anayeonyesha majivuno.+ 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
23 Enyi washikamanifu wake wote, mpendeni Yehova.+Yehova anawalinda waaminifu,+Lakini anampa malipo tele yeyote anayeonyesha majivuno.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+