Zaburi 78:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Akapeleka juu yao hasira yake inayowaka,+Ghadhabu na shutuma na taabu,+Wajumbe wa malaika wanaoleta msiba.+ Zaburi 90:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani anayejua nguvu za hasira yako+Na ghadhabu yako kulingana na kukuogopa wewe?+ Yeremia 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, imetoka, tufani inayofagia ikisonga mbele.+ Itazunguka juu ya kichwa cha waovu.+
49 Akapeleka juu yao hasira yake inayowaka,+Ghadhabu na shutuma na taabu,+Wajumbe wa malaika wanaoleta msiba.+
23 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, imetoka, tufani inayofagia ikisonga mbele.+ Itazunguka juu ya kichwa cha waovu.+