Methali 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 jambo mnalohofu litakapokuja kama dhoruba, na taabu yenu wenyewe itakapofika kama upepo wa dhoruba,+ na shida na nyakati ngumu zitakapowapata.+ Yeremia 25:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tazama! Msiba utaenda toka taifa mpaka taifa,+ na tufani kuu itaamshwa kutoka katika sehemu za mbali zaidi za dunia.+
27 jambo mnalohofu litakapokuja kama dhoruba, na taabu yenu wenyewe itakapofika kama upepo wa dhoruba,+ na shida na nyakati ngumu zitakapowapata.+
32 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tazama! Msiba utaenda toka taifa mpaka taifa,+ na tufani kuu itaamshwa kutoka katika sehemu za mbali zaidi za dunia.+