Isaya 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+ Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kukinywesha mataifa yote ambayo Yehova alikuwa amenituma kwao:+
2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+
17 Ndipo nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kukinywesha mataifa yote ambayo Yehova alikuwa amenituma kwao:+