3 Nawe uzipeleke kwa mfalme wa Edomu+ na kwa mfalme wa Moabu+ na kwa mfalme wa wana wa Amoni+ na kwa mfalme wa Tiro+ na kwa mfalme wa Sidoni+ kwa mkono wa wajumbe wanaokuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+