49Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+
13 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya wana wa Amoni,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia,+ kwa sababu waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi, kwa kusudi la kupanua eneo lao wenyewe.+