Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Edomu+ na Moabu+ na wana wa Amoni;+

  • Yeremia 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+

  • Ezekieli 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwa wana wa Amoni na kutoa unabii juu yao.+

  • Amosi 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya wana wa Amoni,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia,+ kwa sababu waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi, kwa kusudi la kupanua eneo lao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki