13 Basi mfalme wa wana wa Amoni akawaambia wale wajumbe wa Yeftha: “Ni kwa sababu Israeli walichukua nchi yangu walipopanda kutoka Misri,+ kuanzia Arnoni+ mpaka Yaboki na mpaka Yordani.+ Basi sasa irudishe kwa amani.”
49Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+
10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili—zitakuwa zangu mwenyewe, nasi hakika tutaitwaa kila nchi,’+ ijapokuwa Yehova mwenyewe alikuwa hapo,+