Kumbukumbu la Torati 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Warubeni+ na Wagadi nimewapa kutoka Gileadi+ hadi kwenye bonde la mto la Arnoni, mpaka ukiwa ni katikati ya lile bonde la mto, hadi Yaboki, lile bonde la mto lililo mpakani mwa wana wa Amoni;+ Kumbukumbu la Torati 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kutoka Kinerethi+ hadi bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,+ chini ya mteremko wa Pisga+ kuelekea mashariki.
16 Na Warubeni+ na Wagadi nimewapa kutoka Gileadi+ hadi kwenye bonde la mto la Arnoni, mpaka ukiwa ni katikati ya lile bonde la mto, hadi Yaboki, lile bonde la mto lililo mpakani mwa wana wa Amoni;+
17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kutoka Kinerethi+ hadi bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,+ chini ya mteremko wa Pisga+ kuelekea mashariki.