Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wamesema: “Njooni, tuwafutilie mbali wasiwe taifa,+

      Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”+

  • Ezekieli 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Hakika katika moto wa bidii yangu nitasema+ juu ya mabaki ya mataifa na juu ya Edomu yote,+ wale ambao wamejipatia wenyewe nchi yangu iwe mali yao kwa kushangilia kwa moyo wote,+ kwa dharau katika nafsi yao,+ kwa ajili ya kiwanja chake cha malisho na ili kuipora.’ ” ’+

  • Obadia 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hupaswi kuja katika lango la watu wangu siku ya maafa yao.+ Wewe, naam, wewe, hupaswi kukaza macho juu ya msiba wake siku ya maafa yake; wala kunyoosha mkono wako juu ya mali yake siku ya maafa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki