Zaburi 83:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wamesema: “Njooni, tuwafutilie mbali wasiwe taifa,+Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”+ Ezekieli 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili—zitakuwa zangu mwenyewe, nasi hakika tutaitwaa kila nchi,’+ ijapokuwa Yehova mwenyewe alikuwa hapo,+
10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili—zitakuwa zangu mwenyewe, nasi hakika tutaitwaa kila nchi,’+ ijapokuwa Yehova mwenyewe alikuwa hapo,+