Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+

  • Isaya 66:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kwa maana, tazama, Yehova anakuja kama moto,+ na magari yake ni kama upepo wa dhoruba,+ ili kulipa hasira yake kwa ghadhabu tupu na kemeo lake kwa miali ya moto.+

  • Ezekieli 38:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na katika ukali wangu,+ katika moto wa ghadhabu yangu, nitalazimika kusema.+ Kwa kweli katika siku hiyo tetemeko kubwa litatukia katika nchi ya Israeli.+

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’+ asema Yehova, ‘mpaka siku nitakaposimama kwenda kuteka nyara,+ kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kukusanya mataifa,+ nizikusanye falme pamoja, ili nizimwagie shutuma yangu,+ hasira yangu yote yenye kuwaka; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki