Zaburi 50:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+ Yeremia 25:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tazama! Msiba utaenda toka taifa mpaka taifa,+ na tufani kuu itaamshwa kutoka katika sehemu za mbali zaidi za dunia.+
3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+
32 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tazama! Msiba utaenda toka taifa mpaka taifa,+ na tufani kuu itaamshwa kutoka katika sehemu za mbali zaidi za dunia.+