Kumbukumbu la Torati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Zaburi 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+ Zaburi 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+ Zaburi 97:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Moto hutoka mbele zake,+Nao huteketeza adui zake wanaomzunguka pande zote.+
6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+
9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+