Hesabu 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na moto ukaja kutoka kwa Yehova+ na kuwateketeza wale wanaume 250 waliokuwa wakitoa uvumba.+ 2 Wathesalonike 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+
8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+