5 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anawaambia hivi: ‘Katika moto wa bidii yangu+ nitawakemea wale waliookoka kutoka katika mataifa na nchi yote ya Edomu, wale ambao kwa shangwe nyingi na kwa dharau kubwa+ wamechukua nchi yangu na kuifanya kuwa mali yao, ili wachukue malisho yake na kuipora.’”’+