- 
	                        
            
            1 Wafalme 11:33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        33 Sababu ni kwamba wameniacha,+ wakaanza kuinama mbele ya Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni, na Kemoshi,+ mungu wa Moabu na Milkomu,+ mungu wa wana wa Amoni; nao hawakutembea katika njia zangu kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu na sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu kama Daudi baba yake. 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            2 Wafalme 23:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        13 Na mahali pa juu palipokuwa mbele+ ya Yerusalemu, palipokuwa upande wa kuume wa Mlima wa Uharibifu, ambapo Sulemani+ mfalme wa Israeli alijenga kwa ajili ya Ashtorethi+ chukizo la Wasidoni na kwa ajili ya Kemoshi+ chukizo la Moabu na kwa ajili ya Milkomu+ chukizo la wana wa Amoni, mfalme akapafanya pasifae kwa ibada. 
 
-