-
1 Wafalme 11:33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 Nitafanya hivyo kwa sababu wameniacha,+ nao wanamwinamia Ashtorethi, mungu wa kike wa Wasidoni, na Kemoshi, mungu wa Moabu, na Milkomu, mungu wa Waamoni, nao hawajatembea katika njia zangu kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu na kushika maagizo yangu na sheria zangu* kama Daudi baba yake alivyofanya.
-