19 nawe utakaribia mbele ya wana wa Amoni. Usiwasumbue wala usigombane nao, kwa sababu sitakupa sehemu yoyote ya nchi ya wana wa Amoni iwe miliki yako, kwa maana nimewapa wana wa Loti iwe miliki yao.+
19 Basi, wakati Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ yule mtumishi,+ Mwamoni,+ na Geshemu+ Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Ni nini hili mnalofanya? Je, mnamwasi mfalme?”+