Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.

  • Kumbukumbu la Torati 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 nawe utakaribia mbele ya wana wa Amoni. Usiwasumbue wala usigombane nao, kwa sababu sitakupa sehemu yoyote ya nchi ya wana wa Amoni iwe miliki yako, kwa maana nimewapa wana wa Loti iwe miliki yao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+

  • Nehemia 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, wakati Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ yule mtumishi,+ Mwamoni,+ na Geshemu+ Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Ni nini hili mnalofanya? Je, mnamwasi mfalme?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki