Kumbukumbu la Torati 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo, 2 Mambo ya Nyakati 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+
3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo,
20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+