15 Kama vile tu ulivyoshangilia urithi wa nyumba ya Israeli kwa sababu ilifanywa ukiwa, nitakutendea jambo hilohilo.+ Utakuwa mahame yenye ukiwa, Ee eneo lenye milima la Seiri, naam, Edomu yote, naam, yote pia;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”+