Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+

  • Maombolezo 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Furahi na kushangilia,+ Ee binti Edomu,+ wewe unayekaa katika nchi ya Usi.+

      Kwako wewe pia kikombe kitapita.+ Utalewa na kujionyesha ukiwa uchi.+

  • Obadia 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.

  • Obadia 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana siku ya Yehova juu ya mataifa yote iko karibu.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki