Yeremia 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, imetoka, tufani inayofagia ikisonga mbele.+ Itazunguka juu ya kichwa cha waovu.+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
23 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, imetoka, tufani inayofagia ikisonga mbele.+ Itazunguka juu ya kichwa cha waovu.+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.