32 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tazama! Msiba utaenda toka taifa mpaka taifa,+ na tufani kuu itaamshwa kutoka katika sehemu za mbali zaidi za dunia.+
12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama! Ingawa si desturi yao kukinywa kikombe, bila shaka watakinywa.+ Na wewe mwenyewe, je, utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana utakunywa bila shaka.”+
10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+