15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.
28 Na iwe kwamba wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, wewe pia utawaambia, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka mtakinywa.+
16 Kwa maana kama ninyi mlivyokunywa kwenye mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote watakavyoendelea kunywa daima.+ Nao watakunywa na kumeza wawe kana kwamba hawakupata kuwapo kamwe.