Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kukinywesha mataifa yote ambayo Yehova alikuwa amenituma kwao:+ Yeremia 49:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama! Ingawa si desturi yao kukinywa kikombe, bila shaka watakinywa.+ Na wewe mwenyewe, je, utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana utakunywa bila shaka.”+
17 Ndipo nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kukinywesha mataifa yote ambayo Yehova alikuwa amenituma kwao:+
12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama! Ingawa si desturi yao kukinywa kikombe, bila shaka watakinywa.+ Na wewe mwenyewe, je, utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana utakunywa bila shaka.”+