Yeremia 49:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama! Ikiwa wale ambao hawajahukumiwa kunywa kikombe lazima wakinywe, je, wewe utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana lazima ukinywe.”+
12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama! Ikiwa wale ambao hawajahukumiwa kunywa kikombe lazima wakinywe, je, wewe utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana lazima ukinywe.”+