Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Nawe unapaswa kuwaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma miongoni mwenu.”’ 28 Nao wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, waambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Lazima mnywe!

  • Maombolezo 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi.

      Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+

  • Obadia 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana kama mlivyokunywa divai kwenye mlima wangu mtakatifu,

      Ndivyo mataifa yote yatakavyoendelea kunywa hasira yangu kama divai.+

      Yatakunywa na kumeza hasira yangu,

      Nayo yatatoweka kana kwamba hayajawahi kuwepo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki