-
Yeremia 25:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 “Nawe unapaswa kuwaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma miongoni mwenu.”’ 28 Nao wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, waambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Lazima mnywe!
-