Zaburi 137:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbuka, Ee Yehova,Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka: “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+ Obadia 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika.
7 Kumbuka, Ee Yehova,Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka: “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+
12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika.