Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Je, hakuna tena hekima yoyote huko Temani?+

      Je, ushauri mzuri umetoweka kwa wale walio na uelewaji?

      Je, hekima yao imeoza?

  • Maombolezo 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Adhabu ya dhambi yako, Ee binti ya Sayuni, imekwisha.

      Hatakupeleka tena uhamishoni.+

      Lakini ataukazia uangalifu uovu wako, Ee binti ya Edomu.

      Atafunua dhambi zako.+

  • Ezekieli 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nchi ya Edomu imelipiza kisasi dhidi ya nyumba ya Yuda nayo imepata hatia kubwa kwa kulipiza kisasi dhidi yake;+

  • Obadia 10-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya ukatili uliomtendea ndugu yako Yakobo,+

      Aibu itakufunika,+

      Nawe utaangamia milele.+

      11 Siku uliyosimama kando,

      Siku ambayo wageni walichukua jeshi lake na kulipeleka utekwani,+

      Wageni walipoingia katika lango lake na kugawana Yerusalemu kwa kura,+

      Ulitenda kama wao.

      12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+

      Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+

      Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika.

      13 Hupaswi kuingia katika lango la watu wangu siku wanayopatwa na msiba,+

      Hupaswi kuwacheka siku wanayopatwa na msiba,

      Nawe hupaswi kuchukua mali yao siku wanayopatwa na msiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki