Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Kwa maana upanga wangu utaloweshwa mbinguni.+

      Utashuka juu ya Edomu katika hukumu,+

      Juu ya watu ambao niliamua kuwaangamiza.

  • Ezekieli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya Edomu na kuwaangamiza wanadamu na wanyama waliomo, nami nitaifanya kuwa ukiwa.+ Kuanzia Temani mpaka Dedani, watauawa kwa upanga.+

  • Ezekieli 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama ulivyoshangilia urithi wa watu wa nyumba ya Israeli ulipofanywa ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea.+ Utakuwa magofu yaliyo ukiwa, ewe eneo lenye milima la Seiri, naam, Edomu yote;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova anasema hivi:

      ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu alimfuatia kwa upanga ndugu yake mwenyewe,+

      Na kwa sababu alikataa kuonyesha rehema;

      Katika hasira yake anaendelea kuwararuararua bila huruma,

      Na bado anaendelea kuwakasirikia vikali.+

  • Obadia 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hupaswi kuingia katika lango la watu wangu siku wanayopatwa na msiba,+

      Hupaswi kuwacheka siku wanayopatwa na msiba,

      Nawe hupaswi kuchukua mali yao siku wanayopatwa na msiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki