Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi.

      Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+

  • Obadia 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+

      Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+

      Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika.

  • Obadia 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana siku ya Yehova ya kuhukumu mataifa yote inakaribia.+

      Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+

      Utatendewa kama ulivyowatendea wengine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki