Maombolezo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi. Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+ Obadia 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika. Obadia 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana siku ya Yehova ya kuhukumu mataifa yote inakaribia.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Utatendewa kama ulivyowatendea wengine.
21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi. Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+
12 Hupaswi kucheka siku ambayo ndugu yako anapatwa na maafa,+Hupaswi kushangilia siku ambayo watu wa Yuda wanaangamia,+Nawe hupaswi kujigamba sana siku wanayotaabika.
15 Kwa maana siku ya Yehova ya kuhukumu mataifa yote inakaribia.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Utatendewa kama ulivyowatendea wengine.