-
Yeremia 9:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamwadhibu* kila mtu aliyetahiriwa lakini bado hajatahiriwa,+ 26 yaani, Misri+ na Yuda+ na Edomu+ na Waamoni+ na Moabu+ na wale wote wanaonyoa nywele pembeni mwa vichwa vyao ambao wanakaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayajatahiriwa, na watu wote wa nyumba ya Israeli hawajatahiriwa moyoni.”+
-
-
Yeremia 25:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Yehova wa majeshi anasema hivi:
-
-
Mika 5:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Kwa hasira na ghadhabu nitalipiza kisasi
Dhidi ya mataifa ambayo hayajatii.”
-