Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova ameniambia hivi: ‘Jitengenezee mikanda na nira, nawe uziweke kwenye shingo yako. 3 Kisha upeleke vitu hivyo kwa mfalme wa Edomu,+ mfalme wa Moabu,+ mfalme wa Waamoni,+ mfalme wa Tiro,+ na kwa mfalme wa Sidoni+ kwa mkono wa wajumbe waliokuja Yerusalemu kwa Mfalme Sedekia wa Yuda.

  • Ezekieli 32:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “‘Edomu+ yuko huko, wafalme wake na wakuu wake wote, ambao ingawa walikuwa hodari, walilazwa miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga; wao pia watalala na watu ambao hawajatahiriwa+ na pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.*

  • Obadia 1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono ya Obadia:*

      Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi kuhusu Edomu:+

      “Tumesikia habari kutoka kwa Yehova,

      Mjumbe ametumwa kati ya mataifa:

      ‘Inukeni, tujitayarishe kupigana na Edomu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki