Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu Waamoni,+ Yehova anasema hivi:

      “Je, Israeli hana wana:

      Je, hana mrithi?

      Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi?+

      Na kwa nini watu wake wanaishi katika majiji ya Israeli?”

       2 “‘Kwa hiyo tazameni! siku zinakuja,’ asema Yehova,

      ‘Nitakapofanya king’ora cha vita kisikike* dhidi ya jiji la Raba+ la Waamoni.+

      Atakuwa kilima chenye ukiwa,

      Na miji yake itawashwa moto.’

      ‘Na Israeli atawamiliki wale walioichukua nchi yake,’+ asema Yehova.

  • Ezekieli 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, uelekeze uso wako kwa Waamoni,+ na utabiri dhidi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki